Wakali
kutoka Nigeria ambao watatua Tz na kufanya Show siku ya Tarehe 23
Mwezi Ujao nawazungumzia Peter na Paul ambao kwa pamoja wanaunda
kundi la
PSQUARE wamepanga kufanya LIVE BAND itakayofanywa ndani ya
masaa mawili bila kupumzika.
Mbali
na kufanya hiyo show Live wakali hao watadondoka na Wasanii wengine
13 kufanya kazi hiyo ndani ya Tanzania.
Akizungumza
na waandishi wa Habari leo Dar es Salaam Muwakilishi wa East Africa
Radio na Televison Hillary Daudi alimaarufu kama Zembwela amefunguka
na kusema kuwa Sababu kubwa kuwaleta wasanii hao Tanzania ni kutoa
fursa kwa watanzania kupata Burudani lakini pia Kuwapa shule wasanii
wa Nyumbani Tanzania kuiga kile kizuri ambacho wale jamaa hukifanya.
0 comments:
Post a Comment