Kuanzia
Kesho ijumaa tarehe 11 Oktoba 2013-Tunareje kwa Kishindo.
“Machweo ya muungwana ni kusema asante sana.
“Machweo ya muungwana ni kusema asante sana.
Na
kimya kingi kina mshindo mkuu.Kampuni ya Mwananchi Communications
Ltd,wamiliki na washapishaji wa gazeti lako ulipendalo la MWANANCHI,tunakushukuru sana msomaji wetu na umma wote kwa ujumla kwa
kuwa nasi bega kwa bega katika mapito.Umesimama imara pamoja
nasi,ukatutia nguvu sana.
Yale mamilioni ya shilingi utakayoshinda kila siku na magari katika PROMOSHENI YA CHOMOKA NA MWANACHI bado yapo na yataendelea kushindaniwa kama kawaida.
Yale mamilioni ya shilingi utakayoshinda kila siku na magari katika PROMOSHENI YA CHOMOKA NA MWANACHI bado yapo na yataendelea kushindaniwa kama kawaida.
Usikose nakala ya Gazeti la MWANANCHI, kila siku”
0 comments:
Post a Comment