Tuesday, October 1, 2013

BAADA YA SHAMBULIO LA WEST GATE KENYA IMEAMUA KUFANYA MAOMBI

Ni siku 9 sasa tangu mkasa wa Shambulizi la magaidi kutokea katika Jumba la kibiashara la Westgate mjini Nairobi, Kenya Serikali imeandaa maombi ya kitaifa yanayojumuisha dini zote kuombea usalama wa nchi na kuwafariji wale waliopoteza wapendwa wao kwenye shambulizi hilo la magaidi lililosababisha vifo vya watu 67 na wengine zaidi ya 200 kujeruhiwa.
Source:DW Swahili

0 comments:

Post a Comment