Tuesday, October 8, 2013

AMISI TAMBWE AMEIKUBALI KIKOSI CHA MTIBWA SUGAR

Mshambuliaji  mpya wa Simba kutoka nchini Ruandai Amisi Tambwe amefunguka na kusema kuwa kikosi cha Mtibwa Sugar
ndicho bora kuzidi timu zote walizocheza nazo katika msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara. 

Tambwe alipoulizwa juu ya Vikosi walivyokutananavyo toka wameanza Ligi ni kikosi kipi kiliwapa wakati mgumu zaidi na walikuwa vizuri zaidi ndipo alipofunguka kuwa wale mabingwa wa mwaka 1999 na 2000 wa Tanzania bara kuwa wanakikosi kizuri zaidi na wapo vizuri.

0 comments:

Post a Comment