Mkali
wa muziki wa RnB Tanzania anaendelea kufanya poa na ngoma yake ya
JIKUBALI ambayo ilifanywa na Produza Lucci...!
Ben PAUL Amefunguka na
kusema kuwa hakuna ulazima kwa Msanii kufanya kazi na Wasanii wakubwa
ili kufanya vizuri au kutoka kwani kuna wasaniii wengine Wadogo na
hawatambuliki lakini wanauwezo mzuri.
Siku
ya tarehe 8 September 2013 Ben paul alifanya vitu vitatu ambavyo
viulitengeneza Historia kwanza alikuwa akisharehekea siku yake ya
kuzaliwa,pili alikuwa akitambulisha wimbo wake mpya ambao unakwenda
kwa jina la #WAUBANI na Tatu ilikuwa ni kumtambulisha Msanii ambae
alikuwa hajasikika katika Masikio ya watu wengi ALICE.
Alice
ni msanii ambaye ameitendea haki kazi ya WAUBANI na kufanya vizuri
kutokana na uwezo wake wa Sauti na namna ambavyo ameweza kuflow
katika Uimbaji akishirikiana na Nyota wa RNB TZ.
“Kupitia
"Wa Ubani" utakubali kwamba Si lazima kufanya wimbo na
Mastaa Tu, unaweza pia ukaimba na msanii mpya Aka-Fit vizuri
#Beautiful'ALICE







0 comments:
Post a Comment