Monday, September 30, 2013

MSANII WA BONGO FLEVA AFARIKI DUNIA

Msanii na Producer wa music wa bongo fleva na reggae Mack Malik Simba (Mack 2B) amefariki dunia dakika kadhaa zilizopita.
Kaka Wa Marehemu Msafiri Masharubu amesema Kuwa alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kuvimba Kwa Miguu na amefia nyumbani Kwao Yombo.

0 comments:

Post a Comment