Tuesday, September 17, 2013

HIKI NDICHO KIATU KIREFU KILICHOTAKA KUMDONDOSHA JUKWANI LADY JAYDEE.


Usiku wa Jumamosi katika Viwanja vya Leaders Club kulikuwa na Tamasha la Kill Music Tour ambalo lilikuwa likihitimishwa baada ya kuzunguka katika Mikoa mbalimbali na wasanii wakali wakitoa shukrani kwa watanzania kuwawezesha kushinda Tuzo mbalimbali zinazotolewa na Kilimanjaro kila Mwaka.

Katika Usiku huo kulikuwa na Performance kali kutoka kwa wasanii mbalimbali ambao waliweza konga nyonyo za watu waliofulika katika uwanja huo kushuhudia burudani kutoka kwa wasanii wa nyumbani. Ilipofika zamu ya Mwanadada Lady jaydee aliukupokuwa kwa steji alipatwa na Mtikisiko na kutaka kudondoka kutokana na kuvaa kiatu kirefu kilichotaka kumdondosha jukwanii.

Kuanguka jukwaani ni ajali kama ajali zingine, isitoshe sikuanguka bali nilikaribia. Ila poleni kwa mlioumizwa na hicho kitendo...Nitapunguza urefu wa viatu siku nyingine”
















0 comments:

Post a Comment