Mkali
wa R&B alielamba tuzo ya Kill Music Awards akiwakilisha Vinega
kwa mwaka huu wa 2013 amefanya ngoma na mwadada Lady..........
jaydee ambayo
anampango wa kuiachia siku ya tarehe 3 mwezi wa saba siku ambayo yeye
anatimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa.
“NIMEZALIWA
TAREH 3/7/ BADO SIKU KIDOGO,ZAWADI YANGU KWENU NI KUWAPATIA "MUZIKI
MZURI" ZAWADI YANGU KUTOKA KWENU NI USIKIVU TU....RAMA DEE TEAM
VINAEGA LADYJAYDEE TEAM ANACONDA COMING SOON!!!”
0 comments:
Post a Comment