Friday, July 5, 2013

YONDANI HAKUSTAILI TUZO-KIPRE TCHETCHE


Baada ya Beki  wa kati wa Yanga na timu ya Taifa Kelvin Yondani kutangazwa kuwa mchezaji Bora wa Ligi kuu ya Tanzania Bara katika msimu uliopita  na kumpelekea kuchukua Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi.


mchezaji kutoka Azam Fc amefunguka ya moyoni na kusema kuwa Tuzo aliyolamba Yondani alipaswa kupata Sure Boy kwani ndie mchezaji Bora asie na Mpinzani kwa sasa.

“Naheshimu mawazo ya waandaaji wa Tuzo kwa kumpa Kelvin Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi lakini kwangu mimi hakuna Mchezaji Bora kama Sure Boy kwani Sure Boy ndie bora kuzidi wengine wote”

0 comments:

Post a Comment