Thursday, July 4, 2013

PICHA ZILIZO WACHANGANYA SANAA WA TANZANIA SIKU MBILI HIZI ZIPO HAPA.

Anaitwa Meagan Good ni muigizaji ambae siku za karibuni alitimba katika Tuzo za BET 2013 zilizofanyika siku ya Jumapili huko Los Angeles,California .

bidada huyu ana umri wa miaka 31 alitokelezea akiwa amevaa gauni lenye rangi ya Blue akiwa amemetisha huku sehemu ya kifua akiiacha wazi pasipo kujisitili na kitu chochote kile hali ambayo ilileta tahamaki na kupokelewa tofauti na makundi ya watu.
Ila kwa upande wa Tz picha hizo zimeonekana kusambaa na kuangaliwa mno hususani na vijana wanaopenda mambo ya Fassion hata wale ambao si wapenzi wa Fassion. 

 







0 comments:

Post a Comment