Amiri
jeshi mkuu wa Jeshi la Egypt Abdel Fattah al-Sisi amesema kuwa
wamefikia maamuzi hayo jana ya kuchukuwa Nchi na kuitawala kutoka
katika uongozi wa Rais Mohamed Morsi .
Akiwa
katika luninga Live Amiri jeshi alitangaza na kusema kuwa Mkuu wa
Mahakama ya Katiba ataapishwa kwa lengo la kusimamia shughuli za
kiserikali na kuunda serikali kwa lengo la kufanya uchaguzi mapema
iwezekanavyo.
Al-Sisi
alisema wameamua kufanya maamuzi hayo baada ya Morsi kukataa amri ya
Jeshi iliyomtaka kufikia makubaliano na wapinzani hao wa Egypt.
0 comments:
Post a Comment