Wednesday, July 24, 2013

YAHAYA WA LADY JAYDEE ANAHITAJIKA ARUSHA.

Yakiwa yameshapita masaa kadhaa toka Mwanamuziki nguli katika Tasnia ya Bongo kwa upande wa Wanawake Lady Jaydee kutangaza kuwa Katika Sherehe za Idd mosi na Pili kuwa atakuwa Arusha na Team nzima ya Machozi Band na Msanii nguli Hip hop Tanzania anaendelea kufanya poa katika tasnia Prof Jay.

Napenda kuwataarifu wakazi wa Arusha kuwa Prof Jay, Lady JayDee na Machozi Band tutakuwa kwenu Eid Mosi na Eid Pili karibuni tusherehekee pamoja,Team Annaconda inawatakia mfungo mwema kwa siku zilizobaki”
Fans wa Lady jaydee wamemuhitaji kwenda Arusha na “YAHAYA” ili wapate kumuuliza maswali na majibu ya maswali yao.


Joseph Gerald 2nakusubiri kwa ham sijui utakuja lna huyo yahaya.. Bg up da mkubwa!
Brain Moshy Ma heewaaaa...umlete na Yahaya kabisa 2mulize anakoishi ni wapi?big up sn,we are warmly welcom'z ya all with love ile 2tawa shoo mazee .
Hamza Kupela team anaconda ndo habari ya mjini vp yahaya unamleta lini mbeya?








0 comments:

Post a Comment