Baada
ya taarifa kuvuma kuwa Rapper kutoka Tanzania Wakazi ndie angekuwa
mshiriki atakaefanya Show ya BBA katika Wkeend iliyopita ,Suala ya
wakazi kuchaguliwa kwenda South Africa kama Rapper kutoka Tanzania
liliibua maswali mengi kwa Watanzania walio wengi ambao walidai
kutomfahamu wala kumsikia mwanamuziki huyo katika muziki wa Bongo.Lakini........
Msanii
anaewakilisha Wanyama Alimaarufu kama Top in Dar (T.I.D) hakuwa nyuma
katika kupigwa na bumbuwazi juu ya Msanii wakazi kwenda kupiga show
kama Rapper wa Tanzania mpaka mtu mzima TID alihoji Wakazi ataimba
wimbo gani, au anaenda kuonyesha kofia zake za marekani?
Wakazi
nae alijipanga kuwaonesha watanzania na Dunia kiujumla kuwa yeye ni
Rapper na kuwa alikuwa akistaili kufanya Performance hiyo katika
jumba la Big Brother Africa,hivyo alifanya Show kali iliyoeleweka na
kupokewa vizuri na Washiriki wa Jumba la Big Brother.
0 comments:
Post a Comment