Friday, July 5, 2013

MESSI NA NEYMAR WATAFANIKIWA PAMOJA:PEP GUARDIOLA

Kocha wa Bayern Munich Pep Guardiola anaamini kuwa nyota Lionel Messi na Neymar watafanikiwa na kufanya vitu vikubwa wakiwa Barcelona.


kocha huyo wa zamani wa Barca anashawishi kuwa muunganiko huo utafanya kazi nzuri sanaa na kuleta matunda mazuri katika Club hiyo.

Alipoulizwa Swali la je Will Messi na Neymar wataweza kufanya kazi pamoja na majibu yake yalikuwa ndio watafanya kazi pamoja na kufanya kazi nzuri pia.

0 comments:

Post a Comment