Friday, July 26, 2013

NGWEAR ANGEKUWA HAI NISINGEMPA TUZO-KALA


Yule mkali wa Hip Hop alielamba Tuzo tatu za Kili Music Awards kwa mwaka 2013 na kumuenzi Tuzo ya Mwanamuziki Bora wa Hip hop late Ngwear amefunguka na kusema kuwa kama Ngwear angalikuwa Hai asingempa Tuzo hiyo.......!


Kala Jeremiah amefunguka hayo alipokuwa Kikaangoni katika Ukurasa wa Facebook wa EATV leo alipoulizwa swali hilo na moja ya Fans wake hao kama je Ngwear angelikuwa Hai ungempa hiyo Tuzo?

Nimempa tuzo kama njia ya kumuenzi kiukweli angekuwa hai nisingempa”Alisema Kala.

Mbali na hilo watu wengi wamekuwa wakimshauri kuachana na masuala ya siasa baada ya msaniii huyo leo kuandika waraka wake kwa watanzania akimzungumzia Waziri mkuu mstaafu Mh Lowassa.




0 comments:

Post a Comment