Monday, July 29, 2013

MSHABULIAJI WA NIGERIA ASHINDWA SPEED YA YANGA ARUDI KWAO NIGERIA


Mshambualiaji Ogbu Brendan Chukwudi aliyekuwepo nchini akifanya majaribio ya kutaka kujiunga na Klabu ya Yanga akitokea Timu ya Heartland Nigeria,amerudi kwao baada ya kushindwa kuwashawishi mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Yanga.


Mshambuliaji huyo alitimua na kurudi nyumbani Nchini kwao siku ya Ijumaa hayo yalisema na kocha wa Young Africans.


Akitoa sababu ya Mchezaji huyo kushindwa kutimiza malengo yake katika Klabu ya Yanga Brandts alisema kuwa inaonyesha mshambuliaji huyo alikuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu hivyo hakuwa na mazoezi ya kutosha na ndiyo maana alishindwa kuendana na kasi ya mazoezi ya Yanga ambayo inajiandaa kutetea ubingwa wake.

Mbali na mazoezi lakini hata rekodi yake ya Afya ya mshambuliaji huyo ilioneshakuwa alikuwa na majeraha ya kudumu katika goti lake

0 comments:

Post a Comment