Kili
Music Awards kwa mwaka huu inakwenda kwa Slogan ya Kikwetu kwetu
kwani burudani itayokuwa ikitolewa ni kutoka kwa wasanii wa
nyumbani,wakitupa burudani za nyumbani na katika viwanja vya
nyumbani.
Monday, June 17, 2013
WAKALI WA TUZO KUANZA KAZI JMOSI
1:40 AM
No comments
Wale
wa kali wa Tuzo za Kilimanjaro Music Awards kwa mwaka 2013 na
washiriki wa tuzo hizo wataanza rasmi Tour ya Kilimanjaro Music
Awards siku ya Jumamosi hii ya Tarehe 22 katika viwanja vya Jamhuri
Stadium pande za Dodoma kwa kiingilio cha buku mbili mia tano na
zawadi ya Kilimanjaro Moja.
0 comments:
Post a Comment