Monday, June 17, 2013

NISHEAR KUACHIA KICHUPA CHA FEZA KESSY LEO


Mtayarishaji wa Video za Muziki wa Kibongo aliefanya kazi ya Ben Paul Jikubali Nisher,anatarajia siku ya leo kutoa kazi mpya ya Msanii Feza Kessy binti anaeiwakilisha Tanzania katika Jumba La Big Brother huko nchini South Africa.

Masaa 12 Kuanzia sasa Nisher Entertainment itatoa Kazi Mpya Ya Mwana Dada Feza Kessy (BBA2013) .... ni video yake aliyoifanya na mimi kupitia Kampuni yetu ya Nisher Entartainment”

Nisher hajataka kuweka wazi Jina la wimbo huwa mpya wa Fezza Kessy na kuwataka mashabiki wakae teyali kupokea kazi nyingine nzuri kutoka kwake.





0 comments:

Post a Comment