Monday, June 17, 2013

LOVE SIPATI-NEY WA MITEGO


Baada ya kufanya poa sana na ngona ya Muziki gani Ney wa Mitego akiwa na Diamond Platnum mkali huyo alielamba tuzo ya Kili Music Awards kwa wimbo Bora wa Hip -Hop ameachia ngoma nyingine inayokwenda kwa jina la Love Sipati akiwa ameimpa shavu Sheby.

Katika ngoma hilo ambalo mkali wa Hip Hop amelalama kwa kuimba limefanywa na mtu mzima Nas Bussiness katika Studio ya Pamoja Records.

Ney wa mitego amekuwa msanii wa kwanza kuiwakilisha vizuri Manzese kwa kurudisha Tuzo kwa mwaka huu pande hizo.

0 comments:

Post a Comment