Wednesday, June 19, 2013

SITAMWAMBIA SIWEZI KUISHI BILA YEYE-LINEX


Haya ni maneno machache alaiyoandika msanii Linex Sunday juu ya Mapenzi na maisha ya mapenzi kwa sasa kuwa hawezi kumwambia mtu wake kuwa bila yeye hawezi kuishi kwani akifanya hivyo anaogopa kipindi atapopigwa chini kuwa ataumia sana na kupata shida na itamchukuwa muda mrefu kumsahau


Hata niwe na mpenda vip but sitamwambia kwamba siwezi kuishi bila yeye kwa mapenzi ya siku hizi#najua ikitokea nikaachana nae ntaumia sana na itachukua muda kumsahau but #i will not kill my sellf#nchamoto ntakiona#Mahaba niue”

0 comments:

Post a Comment