Wednesday, June 19, 2013

BONGO STAR SEARCH IMERUDI 2013 KAMUA


Lile shindano la kutafuta vipaji vya waimbaji katika tasnia ya muziki linalofanywa kila mwaka limezinduliwa tena kwa mwaka huu hapa ambapo lengo la mwaka huu ni kuakikisha mshindi anapatikana lakini mbali na mshindi limelenga kutengeneza wasanii nyota wengi zaidi
akizungumzia msimu wa sasa unaokwenda kwa slogan ya KAMUA Chief Judge Madam Rita Paulsen amesema kuwa kwa mwaka huu wanampango wa kuwafikia vijana wengi zaidi

'Msimu wa saba wa EPIQ BONGO STAR SEARCH umerudi tena. Tegemea mambo makubwa na mabadiliko mengi yote tu kwa ajili ya kuongeza ladha kwenye msimu huu. Mwaka huu tuna mpango wa kuwafikia vijana wengi zaidi lakini pia kutengeneza wasanii nyota wengi zaidi ukiacha mshindi.”

0 comments:

Post a Comment