Baada ya siku moja kupita toka kutambulishwa mkwaju mpya
wa AY na FA huku wakiwa wamempa shavu mtu mzima J Martins kutoka pande za
Nigeria, vocal plus Beat vikiwa vimetendewa haki na utundu wa Marco Chali Lamar
akubali kazi iliyotendwa na wanamuziki hao na kuomba kuifanyia Remix.
Lamar kutoka Fishcrub
amekili kuwa uwezo wa wasanii hao ni mkubwa na kazi waliotenda ni kubwa pia “Mziki wetu
unakua kwa kasi sana big up to ay,mwana fa n jmartins 4 the sik tune!I need the
vocals to do a rmx”
Cheza bila kukunja goti ni ngoma iliyopokelewa vizuri wa
mashabiki ndani ya muda mfupi kwani imeweza kusambaa kwa kasi pindi tu
ilipotangazwa siku ya jana.






0 comments:
Post a Comment