Monday, June 3, 2013

JB ADONDOSHA ZAWADI “UWOYA ASHIRIKI”


Waigizaji wanaofanya poa katika Tasnia ya Filamu Tanzania Irene Uwoya pamoja na JB ambae mbali na uigizaji ni mtayarishaji wa kazi za Filamu Bongo Hivyo mkali huyo anatarijia kuibuka na Filamu yake inayokwenda kwa jina la “Zawadi Yangu”.


Katika Filamu Hiyo inayotarajiwa kuingia sokoni siku za karibuni JB amempa shavu Mwanadada Irene Uwoya katika kuhakikisha kitu cha zawadi Yangu kinafanya poa zaidi kutokana na umahiri wa watu hao pindi wawapo kazini katika kuuvaa uhalisia wa jambo wanaloliwakirisha katika jamiii.

Mbali na Uwoya wasanii wengine waliouza sura katika Filamu hiyo ni pamoja na Bi Hindu,Shamsa Ford, Chuma Suleimani na wengine Kibaoo,Zawadi yangu Ni filamu inayozungumzia namna kina MaMa wengi wanavyotawala Ndoa za watoto wao na kusababisha baadhi ya Matatizo katika Ndoa za watoto wao pia .






0 comments:

Post a Comment