Monday, June 3, 2013

BOSS LADY ATOLEWA BIG BROTHER AFRICA




Mshiriki wa Big brother Africa The Chase kutoka pande za Kenya,Mrembo anaefahamika kwa jina la Huddah Monroe ameaga mashindano ya BBA wkeend hii baada ya kutolewa katika Jumba hilo.

Kenyan Boss Lady Huddah amekuwa mshiriki wa Pili kutoka katika Mashindano kutokana na kushindwa kubakishwa kwa kura za watazamaji wa shindano hilo,ambao wao huchagua mtu gani wa kumbakisha katika shindano hilo .


Hudda alionesha kutotarajia kutolewa katika shindano hilo akiamini kuwa huenda wachalii wa kenya wangekuwa wamempa kura nyingi ili kumbakisha katika jumba hilo kama muwakirishi wao lakini haikuwa hivyo.
Boss Lady atarejea nyumbani nchini kenya na kuendelea na maisha yake ya kawaida pande za Kenya.






0 comments:

Post a Comment