Wanawake
kumi na moja wamefikishwa katika mahakama kuu ya Mombasa jana nchini
Kenya baada ya kukutwa wakiigiza filamu ya ngono na mnyama Mbwa .
Wanawake
hao walikamatwa katika mtaa wa nyale alipokuwa akiishi mgeni mmoja
raia wa Uswizi aliengia nchini Kenya tarehe 1 mwezi wa tatu na kupewa
haki ya kuishi nchini kenya kwa siku 90
Raia
huyo wa nchini Uswizi ndie anaetuhumiwa kushiriki kuwatumia wanawake
hao kumi na moja kufanya mapenzi na Mbwa kwa lengo la kuigiza Filamu
ya ngono kwa lengo la biashara.
Serikali
ya Kenya imewashikilia wanawake hao kumi na moja na Raia wa Uswizi
kwa uchunguzi zaidi.
0 comments:
Post a Comment