Show
mpya ambayo itaanza kuwa published Youtube, Mpango na lengo lake
kubwa likiwa ni kujenga na kuboresha kazi mbalimbali za videos
zinazofanya na wasanii, hususan Music Videos, Kwa kushirikisha
wataalam wa Video Production kwa karibu pamoja na maoni ya kwako wewe
mkali wetu.
Tutakuwa
tunachambua videos ambazo kwa mwanzo huu tutakuwa tunazichagua sisi
na kuhighlight mambo yoote ambayo yamefanyika vizuri katika video
hiyo na pia tutakuchana kinomanoma pale ambapo tutakuwa tumeona
makosa dhahiri, lengo kubwa likiwa ni kuwachallenge wasanii kufanya
kazi bora zaidi kwa mashabiki wao.
Presenters wa show ni Kennedy Frank Remedy [@KenedyFrank] na Fadhili Kiwia [Mo_Faze] chini ya Director mkali Edson Kato 2.5D [.....], Mpango ndio umekaa hivi na maoni na support yako ni muhimu sana katika kufanikisha hili.
Presenters wa show ni Kennedy Frank Remedy [@KenedyFrank] na Fadhili Kiwia [Mo_Faze] chini ya Director mkali Edson Kato 2.5D [.....], Mpango ndio umekaa hivi na maoni na support yako ni muhimu sana katika kufanikisha hili.
Find and Like us on Facebook kupitia link hii https://www.facebook.com/VideoSurgery
na
pia twitter kupitia https://twitter.com/CreativemindsTZ
na
pia blogspot http://videosurgerytz.blogspot.com/.
Kwa followup Subscribe youtube channel https://www.youtube.com/user/creativemindstz?feature=watch
Kwa followup Subscribe youtube channel https://www.youtube.com/user/creativemindstz?feature=watch
Bofya
link Hizo tazama vijana wakifanya yao katika show Matata
0 comments:
Post a Comment