Matokeo
ya kidato cha Sita ya 2013 yametangazwa leo na shule iliyoongoza ni
Marian Girls ya Mkoani Pwani na kufuatiwa na Shule ya Mzumbe iliyopo
Morogoro.
Asilimia
93 ya wanafunzi waliofanya Mitihani hiyo ya Kidato cha Sita Mwanzoni
mwa Mwaka huu Wamefaulu na asilimia Saba 7 ya jumla ya wanafuzni ndio
wamefeli Mitihanui iyo.






0 comments:
Post a Comment