Tuesday, May 28, 2013

AUNTY EZEKIL AFANYA NGOMA NA LINEX



Msanii wa Bongo Movie Aunt Ezekil ameingia rasmi katika Industry ya Bongo fleva kwa kutengeneza Ngoma na Msanii mzawa wa Kigoma Linex Sunday Mjeda mkali wa Vokali anaetamba na ngona ya riziki yangu kwa sasa.

Project ya Aunt Ezekil na Linex inakwenda kwa Jina la Bongo Movie vs Bongofleva ambapo mwanadada atawakilisha Kundi la Bongo movie katika ngoma hiyo na mtu mzima Linex atawakilisha kunako Bongo Fleva katika Wimbo huo unaotarajiwa kuangushwa kwa hewa siku si nyingi.

Kwa mujibu wa Linex amesema kuwa project hiyo mpya aliofanya na Aunt Ezekil itakuja siku si nyingi kwa mashabiki wa Bongofleva na wale wa Bongo Movie pia.

New project bongo movie vs bongo freva aunt Ezekiel feat Linex sunday#mguu kwa mguu cumn soon”
katika Wimbo huo Linex Sunday ameshirikishwa tu hivyo mwanadada ezekil ndie mwenye wimbo huo,

0 comments:

Post a Comment