Monday, April 15, 2013

WAVUA NGUO STEJINI NA KUSHANGAZA MASHABIKI



siku ya jumapili kulikuwa na Tamasha la kuwatunuku Tuzo wasanii mbalimbali wa movie ulimwenguni waliofanya vyema katika mwaka wa 2012,Tuzo hizo ziliandaliwa na MTV na zinatambulika kama MTV Movie Awards.

Katika tamasha hilo lilotawaliwa na vioja vituko na vichekesho mbalimbali kutoka kwa mastaa mbalimbali wa filamu ulimwenguni lakini mbali na yote hayo vijana wawili ambao ni Seth Rogen na Danny McBride waliwaacha hoi watu waliokuwa katika viunga hivyo wakifuatilia zoezi zima la Tuzo hizo baada ya kuvua suruali zao pindi walipokuwa jukwaanii huku wakiwa wamevaa boksa zenye vioja pia.




0 comments:

Post a Comment