Wednesday, April 17, 2013

TUZO ZA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU EXCEL WITH GRAND MALT KUZINDULIWA JUMAMOSI

Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt,Consolata Adam (kulia) akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Mikutano wa TBL Ilala jijini Dar es Salaam leo wakati wa kutangaza tuzo za wanafunzi wa elimu ya juu zijulikanazo kama “Excel with Grand Malt”, zinazota katika Chuo mbali mbali hapa nchini ikiwa ni mwaka wa tatu mfululizo.

Uzinduzi wa Tuzo hizo utaanza rasmi leo siku ya jumamosi April 20,kwenye viwanja vya Chuo kikuu Ardhi,jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Dorice Malulu.

0 comments:

Post a Comment