Wednesday, April 3, 2013

TEVEZ AHUKUMIWA MASAA 250


Kiungo mshambuliaji wa Manchester City Carlos Tevez amehukumiwa kutumikia masaa 250 kufanya kazi za kijamii baada ya kufanya makosa ya kiusalama barabarani akiwa anaendesha chombo za moto.

Tevez alikutwa akiendesha gari wakati leseni yake ilikuwa imezuiliwa kutumika kwa miezi sita kuanzia 16 january kufuatia kosa alilolifanya kutojibu barua ya polisi kuhusiana na mwendo kasi .

Tevez alikamatwa March 7 na polisi akiwa akiwa anaendesha gari ya michezo kalibu na nyumbani kwake.

0 comments:

Post a Comment