Msanii
Jay Z amefunguka kuwa safari yake ya Nchini Cuba alioifanya week
iliyopita na mkewe Beyonce ilimpa wakati mgumu Rais Barack Obama
ukiangalia namna walivyokuwa kalibu katika shughuli za kila siku.
Katika
Wimbo huo unaoitwa “Open Letter” Jay Z ameutoa rasmi kwa ajiri ya
watu waliokuwa wakizungumza vibaya juu ya safari yake hiyo ya Nchini
Kubwa,wasiwasi mkubwa ulikuwepo kwa watu wengi nchini Marekani
kutokana na Ukalibu uliopo kati ya Jay Z na Obama lakini kingine ni
kutokana na utofauti ya nchi hizo.
amesema
kuwa wanasiasa hawafanyi kitu kwa ajiri yake yeye bali wanamdaganya
yeye na kuharibu historia..
Moja
ya mstari uliopo katika wimbo huo unasema kuwa Rais Barack Obama
aliniambia kuwa alikuwa akihofia safari yangu Nchini Cuba kwani
alijua kuwa ingemletea matatizo Ikulu hii ni kwa mujibu wa Jay Z.
aliendelea
kutiririka Jay Z kuwa Obama alimwambia atulie kwani atamchanganya na
kumfanya atafsiliwe tofauti,hivyo atulie kwani hawaitaji hicho kitu
kitokeee watulie na yeye means hiyo safari kama asiende vileee..
Baada
ya ya wimbo huo kuachiwa katika vyombo mbalimbali vya habari leo
Ikulu White House imetoa kauri juu ya wimbo wa mtu mzima Jay Z na kusema kuwa Rais Barack Obama hajashirikiana na Jay Z juu ya safari yake ya Cuba.
0 comments:
Post a Comment