![]() | |
JOYCE BANDA AKIWA NA ROBERT MUGABE |
“sote tulikuwa tukiangalia mahitaji ya nchi zote mbili kuendelea kufanya kazi kwa pamoja kama nchi zenye ubia kibiashara kwani nchi zote mbili zimepitia matatizo ya kiuchumia,hivyo itakuwa vizuri kama tutashirikiana na kubadilishana ujuzi na uelewa ili kuboresha maisha ya Raia katika nchi zote mbili”
aliendelea kusema kuwa anaona ameheshimiwa kukaribishwa katika ufunguzi wa 54 wa Biashara za Kimataifa wa Zimbambwe utakaofanyika siku ya Ijumaa.
“Mimi wa Raisi Dr Joyce Banda nalichukulia suala hili kama nafasi nyingine kwa Nchi ya Malawi kuonesha Bidhaa zake kama sehemu ya kutangaza Biashara katika Nchi yetu.Alisema Joyce Banda Raisi wa Jamhuri ya Malawi
0 comments:
Post a Comment