Serikali ya Jamhuri wa muungano wa Tanzania inatarajia kutoa tamko kuhusu Ziwa Nyasa kufuatia Serikali ya Malawi kujitoa kwenye Mazungumzo ya usuluhishi yaliyokuwa yakiendelea baina ya nchi ya Tanzania na Malawi.
Juzi
Raisi wa Malawi Joyce Banda alisema kuwa hajalidhishwa na mchakato wa
usuluhishi uliokuwa unaendelea kati ya Tanzania na Malawi na kusema
kuwa suala hilo analipeleka katika Mahaka ya Kimataifa (ICJ)
waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh Bernad Membe jana
amesema kuwa Serikali itatoa tamko leo wenye Msimamo wa suala la
Mgogoro huo kati ya Malawi na Tanzania.
(4).jpg)






0 comments:
Post a Comment