Friday, April 5, 2013

AIBU TUPU ASEMA MENGI

Dr Reginald Mengi
Mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya IPP Dr Reginald Mengi amefunguka na kusema kuwa ni aibu kubwa kwa Taifa lenye changamoto nyingi na Muhimu za maendeleo watu kugombana na kupigania kuchinja wanyama.
Mwenyekiti huyo ameandika hili leo hii katika ukurasa wake wa tittwer
Hii ni karne ya 21.Taifa lina changamoto nyingi na muhimu za maendeleo lakini tunapigania kuchinja wanyama. Aibu tupu !! .”


0 comments:

Post a Comment