Friday, April 5, 2013

38 WAMEKUFA WAKIWEMO WATOTO 11

Watu Thelathini na Nane wakiwemo watoto kumi na moja wamefariki dunia Nchini India Mumbai baada ya jengo kuanguka likiwa linaendelea na ujenzi Jumanne jioni .watu 50 waliokolewa lakini wengine wanahofiwa kufunikwa na jengo hilo.
Jengo hilo lenye ghorofa saba lilijengwa kwa magendo kwa miezi miwili na vifaa visivyo imara jengo hilo lilikuwa likiendelea kujengwa katika ghorofa ya Nane.
Sandeep Malwi msemaji Manispaa yaThane amesema kuwa Jengo lilidondoka alikupitishwa na Manispaa hiyo kujengwa vile vile imesemekana kuwa ndani ya jengo hilo kulikuwa na kituo cha Tution kwa wanafunzi lakini walikuwa wamekwisha ondoka wakati jengo hilo likianguka. 6.30 pm katika masaa ya India
sources: ndtv

0 comments:

Post a Comment