Tuesday, April 2, 2013

MAREKANI KUFUATILIA VIONGOZI WATEULE WA KENYA


Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema Marekani itafuatilia kwa makini hatua za viongozi wateule wa Kenya katika kukidhi matakwa ya mahakama ya uhalifu ya kimataifa -ICC- kutokana na tuhuma zinazowakabili.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari msemaji wa wizara hiyo Hilary Renner amesema watashiriki ipasavyo katika kulifuatilia suala hilo. 

Kutokana na kauli hiyo Sudi Mnette amezungumza na Geofrey Musila, mwanasheria wa kimataifa na mchambuzi wa siasa za Kenya, aliyejikita hasa katika masuala ya ICC na kwanza anaelezea kwanini marekani imeibuka na suala hili wakati huu.

Kuskiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

source:DW swahili

0 comments:

Post a Comment