Wednesday, April 10, 2013

HUYU NDIE MREMBO ANAE CHANGANYA WANAUME PINDI WAMUANAPO

Stori hii inaanzia hukooooooo mjini Kenya tunakutana na Mrembo ambae ni Video Queen mwenye muonekano Mzuri aliefanya Video Kibaoo na kwa mujibu wa Taarifa zilizomfikia Mpita Njia ni kwamba Mrembo huyu Ndie alieandikwa sanaa katika Mitandao ya Kijamii Nchini Kenya Kutokana na muenekano wake na kazi yake hiyoooo ya kuuza nyago kwa Luningani.


Mrembo anaswaga za hatari na umbo lake ndivyo vinavyowachanganya sanaa watu pindi wanapomuona ni hari hiyo wasaniii wengi wamejikuta wakitaka kufanya nae kazi kwa sababu wanajua akifanya kazi hiyo watu wengi watafuatilia video hiyo kutokana na mvuto wa Video Queen huyo.

Inasemekana kuwa kuna moja ya Video aliyofanya Mrembo huyu Nchini kenya alizuiwa kupigwa katika kituo cha Luninga cha THE CITIZEN kwa sababu ya ukali wa picha hasa zaidi za Mrembo huyuuuu.
Pata furaha ya Macho ya kuangalia Picha zake hizi hapa MAANA MPITA NJIA SINA TATIZO WALA HIYANA na mwanadashosti huyu.


picha zote ni kwa hisani ya Diamond Platinums

0 comments:

Post a Comment