Msanii wa Bongo fleva
Diamond Platnum AKA the President Himself wa watanashati amepata Shavu kufanya
show Nchini DRC CONGO .
show itakayofanyika siku ya Tarehe 11 mwezi wa Tano
Uvira Congo Dumi Utamu,Mose Iyobo,Rama tonser na Emma Platnumz...
“Ntakuja kuwalewesha mpaka kesho kisha ntachagua wa
kumpenda....!! Siku hiyo ntakinukisha mpaka
niakikishe uvira yote inakuwa kama Bongo.....!!Alisema Diamond
niakikishe uvira yote inakuwa kama Bongo.....!!Alisema Diamond






0 comments:
Post a Comment