Friday, March 15, 2013

WAKONGWE KUSAIDIA WACHANGA KATIKA FANI YA MITINDO NA KUBUNI

MUSTAPHA HASANARI

wakongwe wa fashion nchini watakuwepo katika tamasha la Usiku wa fashion siku ya jumamosi ya tarehe 23 march.

Super Eight Entertainment watafanya tamasha la Fashion night  maeneo ya Ilala  katika ukumbi wa Ilala Amana Social Hall

Lengo kubwa la tamasha ni kuwaonesha watanzania bidhaa mpya katika soko la fashion ya Tanzania na kuwasaidia wabunifu na wanamitindo wachanga wanaoibukia katika fani hiyo.


KIDOTI-JOKATE
wageni waalikwa katika tamasha hilo ni wakongwe wa fani ya fashion akiwemo Kidoti Fashion,Martini Kadinda,Khadja Mwanamboka,Ally Rhemtula na Mustapha Hasanari.

0 comments:

Post a Comment