Saturday, March 30, 2013

SINA IMANI NA SHETTA RICH MAVOKO NDANI


Msanii wa bongo fleva shettah alietamba na ngoma kibao kama mdananda,bonge la bwana na zingine leo hii  amethibitisha kuwa wimbo wake wa BONGE LA BWANA ulibuma kwa kutofanya poa katika tasnia ya bongo fleva baada ya kuachia track yake mpya inayokwenda kwa jina la SINA IMANI ambayo imekuwa iko poa na kuonesha kufanyavizuri zaidi siku za mbeleni.

Ndani ya truck hiyo iliyofanywa na mensen-selector ndani ya production za difatarity na kuleta radha zaidi kwa msikilizaji
Ndani ya Sina imani ameshirikiswa RICH MAVOKO na kutia voko zake katika track hiyo na kuipa uwezo wa hali ya juu track hiyo.

 kwa sikio langu la muziki naona track hii itamludisha shettah katika level zake zile za mwanzo kwani hapo kati kidogo hakufanya poa na track yake ya bonge la bwana. BIG UP SHETAH 

0 comments:

Post a Comment