Saturday, March 30, 2013

KITALE,KARA JEREMIAH NA DYANA KUWASHA MOTO LEO


wasanii wa bongo fleva kutokea jiji la dar es salaam kitale rais wa mateja,kara jeremiah na mwanadada dyana usiku leo watafanya bonge la show katika ukumbi wa social club katika mkesha wa pasaka utakaofanyika katika mji wa kahama.

akitiririka na mpita njia kara amesema kuwan leo tunafanya tukio la kihistoria,bonge la show litakalofanyika usiku wa leo ndani ya ukumbi wa social club katika mkesha wa pasaka njoo wewe na yule umpendae kiingilio ni tsh 5000tu

vilevile amedai kuwa ile album yake YA PASAKA itakuwa ikipatikana mlangoni kwa dhamani ya buku tano tuu.




0 comments:

Post a Comment