Wilfredy
Moshi ndie alieweka historia hiyo kuwa mtanzania wa kwanza kufanikiwa kupanda
Mlima Mrefu ulimwenguni Mlima EVEREST ,ilikuwa ni mwezi wa tano wa mwaka jana
2012 ndipo Wilfredy alipotimiza lengo lake la kupanda mlima mrefu zaidi
ulimwwenguni na kufikia kileleni
Lakini
alisema kuwa kufanikiwa kwa zoezi hilo ni kutokana na maandalizi aliyokuwa
akiyafanya kalibia mwaka mzima vile vile aliweza kuweka malengo hayo kutokana
na kuvutiwa kupanda mara kwa mara kwa Mlima Kilimanjaro uliopo Tanzania ndipo alipoweka malengo ya
kupanda mlima huo mrefu zaidi duniani.
Amekuwa na furaha zaidi kuiwakilisha Bendera ya
nchi yakeya jamhuri wa muungano wa Tanzania
Wilfredy
Moshi ndie alieweka historia hiyo kuwa mtanzania wa kwanza kufanikiwa kupanda
Mlima Mrefu ulimwenguni Mlima EVEREST ,ilikuwa ni mwezi wa tano wa mwaka jana
2012 ndipo Wilfredy alipotimiza lengo lake la kupanda mlima mrefu zaidi
ulimwwenguni na kufikia kileleni






0 comments:
Post a Comment