Friday, March 29, 2013

JENGO LAPOROMOKA NA KUUWA DAR


 Jengo lililokua bado linaendelea kujengwa katika makutano ya barabara ya Indra Gadhi na morogoro lenye ghorofa zaidi ya 10
 Limeporomoka na kuuwa watu zaidi ya watano na kujeruhi wengine wengi waliokuwepo katika eneo la tukio vilevile jengo hilo limeangukia msikiti ambao unasadikiwa kuwa na madrassa ambayo ilikuwa na wanafunzi ndani wakati  tukio likitokea.

Vyanzo vya habari vimeripoti kuwa zaidi ya watu 60 walikuwa wamefunikwa na jengo hilo hata hivyo jitihada za kuwaokoa zilikua zikiendelea ila mbali na kuwajeruhi watu na kusababisha vifo jengo hilo limehalibu mali za watu yakiwamo magari kadhaa yenye dhamani tofauti tofauti na mali zingione zilizokuwa karibu na eneo la tukio.

Mungu azilaze pema roho za marehemu wote.AMINAA

0 comments:

Post a Comment