Friday, March 29, 2013

SINTA ADAIWA KUJIUZA –RAYUU


Mwadada Sinta aliekuwa akitamba sana katika Tasnia ya muvi Bongo enzi hizooo na kupata jina kubwa hapa mjini na sehemu mbalimbalki za nchi yetu amefungukiwa na Binti Rayuu Bangenzi kuwa anafanya Biashara ya mali zake Asili alizotunukiwa bila malipo yoyote yale.

Rayuu amefunguka hayo katika ukurasa wake wa Facebook na kuandika kitu hiviiiii nami bila iyana yoyote nina tililika na stori hii kama ifuatavyo

“kujibishana na nani vile anaitwa ..... gyz nisaidieni aliimbwa sn na nature cz alichoka nakujiuza kwake:nani anaitwa jamani cz me niliwahi mona mara1 masenze akiwa bsy kusimamisha magari;ss cjui alikuwa anafanya nn!ali maarufu kama bibi kizee anaye tafuta umaarufu kupitia migongo ya wenzie!ss sikia kizee dida anakutafuta na akikupata ......???”

Bidada huyo aliendelea kutililika bila woga na kuonesha hisia zake za ndani juu ya mambo hayo kama ifuatavyo
”ndo utajua kuwa ww ni kibibi umri umepita!!wateja wako wanasema.acha kuvaa matako ya bandia!!(kubishana na ww ni sawa nakubishana na bibi yangu!!)na koma kusema mm rafiki yako!!

0 comments:

Post a Comment