Thursday, May 16, 2013

JULIANA KANYOMOZI AKANA TAARIFA ZA KUOLEWA NA JAJI IAN



MKALI wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Juliana Kanyomozi wa Uganda, jana amekanusha tetezi zilizozagaa kuwa anatoka kimapenzi na jaji mwenzake wa shindano la Tusker Project Fame Jaji IAN na kuwa eti wanampango wa kufunga ndoa siku za karibubuni.

Kwa mujibu ya Juliana amekanusha shutuma hizo na tetesi hizo kuwa hazina ukweli wowote ule kama ambavyo anaeleze Juliana.

nimeona taarifa zinazo ni sumbua akili na mawazo ,nasema sina mpango wowote wa ndoa na jaji IAN na sijawahi kuwa na mahusiano yoyote ya kimapenzi na yeye na sina lengo la kufanya hivyo,Ian ni mtu ninaefanya nae kazi katika shindano la TPF basi,ninamuheshimu kama ninavyo waheshimu watu wengine.kama jaji mwenzangu vilevile namuheshimu kama ni mtu mwenye Familia yake,hivyo huu ni uzushi tena sio fair kabsaaaa'”

Juliana amefunguka haya baada ya mitandao ya kijamii kuandika habari kuwa jaji Ian ayupo teyari kuona anampoteza Juliana na kusema hizo taarifa zimetolewa na rafiki wa karibu wa jaji huyo.




0 comments:

Post a Comment