Jose
Chameleone ametoa pongezi ya aina yake kwa wanamuziki waliokuwa
wakimfanyia back up za Voko kipindi cha nyuma ,Moze Radio na Weasel
walioteuliwa kushiriki katika Tuzo za BET.
Chameleone
alitumia ukurasa wake wa Facebook kuwapa shavu wawili hao wanaounda
kundi la Goodlyfe Crew alisema mafanikio ya mtoto ni falaja ya
baba,kwa maneno hayo naungana na wanamuziki wenzangu kuwapongeza
Radio$Weasel kwa kuchaguliwa kushiriki tuzo za BET....Mlijifunza
kutoka kwa mtu bora na mlijifunza vizuri alisema Chameleone.
Kundi
la Goodlfye limekuwa likifanya kazi zake kwa mwaka wa tano sasa toka
walipojitoa kwa JoSE Chameleone's Leone Island Music Empire na kuunda
kundi lao wenyewe linalokwenda kwa jina la Goodlyfe
hatuna
uhakika kama Bebe Cool atawapongeza vijana hao,lakini Bobi Wine yeye
amefanya hivyo kwa hilo vijana hawawezi kuficha furaha ya mafanikio
yao.






0 comments:
Post a Comment