Monday, May 20, 2013

PICHA 10 WATU WAKIGOMBANIA MAFUTA BAADA YA GARI LA MAFUTA KUANGUKA.

GARI lamafuta la kampuni ya Lake oil limeanguka mkoani mbeya katika mlima nyoka na kusababisha watu kugombea mafuta yaliyomwagika bila kuogopa madhara ambayo yanaweza sababishwa na vitendo hivyo.

angalia picha hizo uone namna watanzania wasivyo wasikivu na wasivyojali maisha yao.









0 comments:

Post a Comment