Monday, May 20, 2013

HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI YASITISHA BUNGE GHAFLAAA



Hotuba ya kambi ya Upinzani kutoka kwa waziri kivuli wa Habari, vijana utamaduni na michezo Mh Joseph Mbilinyi maarufu kama Mr 2 imesababisha Spika wa bunge Anna Makinda kuahirisha bunge hilo mpaka saa kumi na moja jioni akisema kuwa Hotuba hiyo wa kambi ya upinzani iliyokuwa imeeanza kusomwa kuwa ilikuwa na maneno ya uchochezi .

Spika wa bunge ameairisha bunge hilo mpaka jioni huku akitaka hotuba hiyo ipitiwe kwanza kamati ya kanuni ikakae na kuangalia upya Taarifa ya Ndg. Joseph Mbilinyi.

Baada ya Bunge kuarishwa baadhi ya watu wanajiuliza imekuaje hotuba ianze kusomwa pasipo kupitiwa kabla na kama waligundua kuwa kuna maneno ya uchochezi ilikuwaje wakampa nafasi mbunge huyo kuanza kufanya presentantion.

HAYA NI MASWALI YA BAADHI YA WADAU


                                       Jerry Silaa (@JerrySilaa):

Hivi hutuba inaingiaje Bungeni bila kupitiwa? Wenye ufahamu wanihabarishe maana mimi nashangaa tu.

Kwani hizo hotuba si huwa zinatolewa copy kwa kila mbunge kabla hazijasomwa.. huo uchochezi kwa nini wasiuseme mapema kabla hajaanza?






Aisee huku kimenuka...!sugu anasumbua watu....!!!page ya kwanza tu...!bado page za mafisadi wa muziki...!yaani leo nawaambieni kaeni kwenye tv zenu mskie balaa!!magenge mjengoni..!sugu amefanya bunge liailishwe mpaka mchana!




Baada ya Bunge kuahirishwa baadae ndio itajulikana ukweli haupendwi#umakin






0 comments:

Post a Comment