Mbuge
wa tiketi ya Chadema kutoka katika jimbo la mbeya ambae ni waziri
kivuli wa wazira ya Habari ,Vijana utamaduni na mchezo Mr 2 ambae
muda uliopita alikuwa ameanza kuwasilisha hotuba ya kambi ya upinzani
bungeni na kusababisha bunge kusitishwa ghafla mpaka jioni pindi
kamati ya maadili ilitapopitia hotuba hiyo.
Lakini
dhahili kunaonekana muunganiko mkubwa katika kupigana vita kushinda
vita dhidi ya watu wachache wanaohujumu sanaa ya muziki na wanamuziki
kiujumla kufuatia muunganiko uliopo kati ya Joseph Mbilinyi ambae
mwanzo alikuwa na project iliokwenda kwa jina la ANTIVIUS iliyokuwa
na lengo la kupigania haki ya wasanii wabongo wanaohujumiwa na baadhi
ya watu wachache.
Hivi
karibuni mwanadada Lady jaydee nae ameanzisha harakati hizo za
kupinga na kuwafichua watu wachache wanaotumia pesa zao na mali zao
kuakikisha wanawapoteza wasanii na kuwanyonya watakavyo.
Lakini
hili liko wazi kabisa kuwa ANTIVIRUS na Team ANNACONDA wameunganisha
nguvu kwa pamoja katika viti dhidi ya mafisadi wa muziki kwani hata
leo bungeni wageni walioalikwa na mh Joseph mbilinyi wengi wao ni
Vinega na Team annaconda akiwepo Lady jaydee,profesa
Jay,Ramadee,Mkoloni nk
baada
ya kikao cha bunge kuahilishwa Lady jaydee na sugu walipiga picha ya
pamoja na mwanadada huyo aliandika kuwa muunga wa sugu na yeye kuwa
ni moto
JIDE+SUGU=fire







0 comments:
Post a Comment